Wednesday, June 3, 2026

Top Stories

View all
JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA SONGEA DKT YOSE MLYAMBINA AFUNGA BONANZA LA WIKI YA SHERIA

JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA SONGEA DKT YOSE MLYAMBINA AFUNGA BONANZA LA WIKI YA SHERIA

Jaji mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Songea Dkt Yose Mlyambina katikati,Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Songea Upendo Madeha wa tatu kushoto, wakiwa katika picha ya pamoja na wadau waliofanikisha bonanza la michezo mbalimbali lililoandaliwa na mahakama  katika wiki ya sheria nchini. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Songea Dkt Yose  Mlyambina akizungumza kabla ya kufunga bonanza la michezo katika uwanja wa shule ya msingi Sokoine Manispaa ya Songea,kulia kwake Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Songea Upendo Madeha. ******************************* Na Muhidin Amri, Songea JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuuu kanda ya Songea Dkt Yose Mlyambina,amewaongoza watumishi wa mahakama,taasisi na idara za…

FREEDOM HOUSE KUFANYA KAZI NA MAIPAC 

FREEDOM HOUSE KUFANYA KAZI NA MAIPAC 

******************************* Mwandishi wetu, MAIPAC  Arusha.Shirika la Kimataifa la Freedom la House , limeahidi kufanya kazi la taasisi  ya Wanahabari ya kusaidia jamii za Pembezoni…

DP :HOJA YETU NI KATIBA BORA

DP :HOJA YETU NI KATIBA BORA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Democratic Party (DP)Abudul Mluya akizungumza kwenye kikao Cha ndani na wanachama wa chama hicho kuelekea kwenye uzinduzi wa mikutano…