RAIS SAMIA AWAANDALIA IFTAR VIONGOZI NA MAKUNDI MBALIMBALI PEMBA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali, Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, tarehe…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali, Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, tarehe…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MCHEZAJI wa zamani wa Klabu ya Young Africans Sports Club, Ally Msigwa, ametuma pongezi kwa viongozi wa klabu hiyo akiwapongeza…
Wananchi na wakazi wa Hydom wilayani Mbulu mkoa wa Manyara wamemshukuru Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia…
Mkutano wa siku mbili wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 13, 2026.…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa…
Na. OWM- KAM, Moshi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imezishauri taasisi na mashirika ya umma kutanguliza uzalendo na…
…. Na Sixmund Begashe, Karatu Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imetaka Makumbusho mpya ya Urithi Jiopaki iliyopo katika mradi…
………… Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari tarehe 13 Machi, 2026 ameapishwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, katika hafla…
Mtendaji wa Kata ya Mecco Masunga Mpandachalo akisoma taarifa ya ujenzi wa zahati kwa kamati ya siasa. Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya…
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Elimu Utamaduni na Michezo imeridhishwa na uwepo wa mradi wa ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu Mzumbe Gombero…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi, wakati akiwasili katika Uwanja…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda ameupongeza uongozi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kupitia Mwenyekiti wake Mhe.Amani Juma Kasinga kwa…
Na Kepteni Emanuel Ngonela, Msata Pwani. Zoezi la pamoja la medani ‘Justfied Accord 2026’ lililohusisha Kikosi Maalumu cha JWTZ na Kikosi cha Jeshi la…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya Kagwira – Karema (kilometa 112) katika Halmashauri ya…
Diwani wa Kata ya Mkuyuni Richard Masesa akizungumza baada ya kutokea kwa mafuriko yaliyoleta maafa katika soko la Mkuyuni Jijini Mwanza ……… Na Hellen…
* Watembelea mradi kuona ufanisi wake * Shilingi bilioni 118 zatumika kutekeleza mradi * Watoa rai awamu ya pili kuanza kwa kasi Kamati ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege…
Na Maelezo Zanzibar ARDHI Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetenga zaidi ya Bilioni 4 kwa ajili ya upandaji miti katika maeneo yenye mmong’onyoko wa ardhi…
📌Wanawake na Vijana wajengewa uwezo ushirikishwaji wa vikundi 📌Barabara ya Zege yawa Mkombozi kwa wakazi wa Machumba-Nkoarua Arumeru Serikali kupitia Wakala…
Na Mwandishi Wetu,Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ameitaka Umoja wa Vijana wa Chama Cha…
Na WMJJWM – New York, Marekani Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutekeleza kikamilifu makubaliano ya kimataifa yanayohusu usawa wa kijinsia…
Watanzania SABA waliokuwa nchini Iran wamewasili jijini Dar es Salaam Machi 13, 2026, kufuatia operesheni ya uokozi iliyoratibiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Ndugu Crispin Chalamila, ametoa wito kwa shule zote za…
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dodoma Machi 12, 2026 Wanawake wametakiwakuchangamkia fursa zilizopo katika majukwaa ya uwezeshaji Wanawake kiuchumi Ili kujiongezea kipato kwa…
Na Jackline Minja, WMJJWM ARUSHA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imekagua jengo la Utawala la Taasisi ya Chuo…
*Ni mradi wa kihistoria kutekelezwa chini ya Serikali ya awamu ya Sita * Yaipongeza TANESCO kwa usimamizi wa Ujenzi wa Kiwanda hiko * Shilingi…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, ameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Jumuiya ya Madola yaliyofanyika jijini London, Uingereza,…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imependekeza kutekelezwa kwa mradi wa biashara ya kaboni katika vijiji vinavyozunguka Halmashauri ya Wilaya ya…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuhakikisha inamsimamia kwa karibu mkandarasi anayejenga jengo…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akifanya mazungumzo na Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Yordenis Despaigne…
Hali ya sasa ya siasa za ulimwengu na vita zinazoendelea Mashariki ya kati, imesababisha madhara makubwa ulimwenguni ikiwemo kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo…
●Ni juhudi za kahamasisha matumizi ya Nishati Safi. ●Matumizi ya Nishati safi Rafiki Briquettes kutoa ajira kwa watanzania zaidi ya 1000 ●Yafunga mitambo ya…
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afrika ya Chakula Shuleni na Siku…
Afisa Uwekezaji Mwandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Mitaji (UNCDF) , Bw. Abraham Byamungu (wa kwanza kulia) akiwa kwenye picha…
Katibu Tawala wa wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma Francis Mgoloka kushoto,akipokea mashine kwa ajili ya kusaidia matatizo ya upumuaji kwa watoto wachanga kutoka kwa…