MKE WA RAIS MAMA MARIAM MWINYI ASHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO BAADA YA MAZOEZI YA KUTEMBEA
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akiongoza mazoezi ya kutembea ya liyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)…
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akiongoza mazoezi ya kutembea ya liyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)…
Mratibu wa Malaria Mkoa wa Singida, Dk.Abdallah Balla, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mjini hapa jana wakati akitoa taarifa ya ugawaji wa vyandarua…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki,akizungumza kabla ya kukabidhi Injini tatu za Boti zenye uwezo wa nguvu ya farasi 15 kwa wabunge…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akifafanua kuhusu Kikokotoo wakati akichangia mjadala makadirio…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD FDD Ndugu Reverien Ndikuriyo wakati wa…
Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) Dkt. Naomi Katunzi akiwahutubia Wanafunzi 823 waliohitimu katika Taasisi hiyo wakati…
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro akikata utepe wakazi wa zoezi la kugawa pikipiki kwa maafisa ugani na maafisa ushirika wa Halmashauri ya…
…………………. Na Mwandishi wetu.. Kamishna wa Madini Dkt. Abdalrahaman Mwanga amekipongeza Chama cha Wanawake Wachimbaji Madini Tanzaniza (TAWOMA) baada ya kufanya marekebisho ya Katiba…
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wapili kushoto) alipowasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Mlele. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo,…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akifurahia ambo wakati akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD FDD Ndugu Ntakarutimana Joseph…
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe akizungumza kwenye tamasha maalum la kuwapa fursa watoto wa Tanzania wenye mahitaji maalum ambalo limefanyika katika Kijiji…
Na .WAF-Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo June 24,2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO)…
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akijibu hoja za wabunge kabla ya kupitishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali kwa…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro HALMASHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, imepata hati safi (Unqualified Opinion) kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021. Pia Halmashauri…
Naibu Mkaguzi Mkuu, Bw. Benjamini Mashauri akikabidhi sehemu ya msaada uliotolewa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa Msimamizi wa Kituo cha Watoto Yatima…
Kaimu Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST),Prof. Antony Mshandete akiongea na washiriki wa Warsha ya kuwajengea…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani jafo amesema Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2022/22 iliyowasilishwa…
Na Catherine Sungura,WAF-Dodoma Serikali kupitia Wizara ya afya inatarajia kukamilisha mkakati wa utoaji wa huduma kwa wagonjwa wa afya ya akili ikiwemo afya ya…
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro(Mb) amewahakikishia Baraza la Uongozi la Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) ushirikiano kutoka Serikalini kupitia…
***************** Dar es Saalam. Katika kuendeleza utamaduni wa kujitoa kwa Jamii, Watumishi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), wametoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amewasili mkoani Kigoma jioni hii akielekea Makamba nchini Burundi kwa ziara ya kuboresha mahusiano baina…
Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt.Athuman Ngenya(Kulia)na Mkurugenzi Mkuu wa FCC Bw. William Erio(kushoto)wakionesh tofauti kati ya bidhaa feki na halisi ya vifaa vya umeme.…
Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Fatma Rajab akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na ujumbe kutoka…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni jijini Dodoma…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili leo katika Ufunguzi wa Masjid Muhammed…
Naibu Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa jamii hicho Kitengo Cha Fedha na Mipango, Profesa Justice Urassa akizungumza wakati wa uwasilishaji wa utafiti mdogo…
Na Silvia Mchuruza,Bukoba. Waalimu katika manispaa ya bukoba mkoani kagera wameiomba serikali ya wilaya na na wadau kwa jumla kupewa mafunzo ya masuala ya…
Mkurugenzi wa TAMWA-ZNZ Dkt,Mzuri Issa akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari kuhusu awamu ya pili ya tunzo hizo. Sehemu ya waandishi wa habari…
Kiongozi msaidizi wa Kituo cha WISE-Futures, Dkt. Yusufu Chande Jande (kwanza kushoto), Afisa Viwango TBS, Bw.Arnold Mato( wa pili kulia), Afisa Sheria TBS ,…
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bunge kutoka kikombo…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 24 Juni 2022 akisalimiana na Rais wa Rwanda Mheshimiwa…
************************ Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro ameendelea kulaani vitendo vya mauaji vinavyofanywa na baadhi ya watu kwenye jamii na kamwe…
Mkurugenzi wa IT wa Vodacom Tanzania Plc, Athuman Mlinga (katikati), akizungumza kwenye mdahalo na kuwasilisha mada kuhusu Utawala na Uhakika wa TEHAMA. Vodacom Tanzania…
Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Makamu wa Rais -Idara ya Mazingira Bi.Catherine Bamwenzaki akizungumza katika warsha ya Mafunzo kuhusu Mchango wa Taifa katika kukabiliana na…
Mkurugenzi wa Huduma za Uchukuzi na Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya Wadau ya maboresho ya Utendaji Bandari ya Tanga Mhandisi Aron Kisaka, akifafanua jambo…