KATIBU MKUU WA CCM AZURU KABURI LA PETERO NKURUNZINZA GITEGA BURUNDI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga…
Mhandisi Hussein Chitomo wa Kampuni ya Maurela & Prom inayomiliki visima vya gesi asilia eneo la Mnazi Bay Mtwara akiwaelezea Mkuu wa Kitengo cha…
************************ Na Mwandishi wetu MKAZI wa kijiji cha Nagulo kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma Bibi Pelis Nyanyihindi (78)amesikitishwa na kitendo cha kutishiwa maisha…
MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU TANGAZO LA KUITWA KAZINI TANGAZO LA KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA UALIMU JUNI, 2022.pdf TANGAZO…
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza baada ya kushiriki kwenye mbio za marathon zilizoandaliwa na Taasisi ya Mifupa (MOI) kwa ajili ya kuchangisha…
Amidi, Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC), Dkt.Mona Mwakalinga (katikati)akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 26,2022 wakati akitoa…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Askofu Wolfgang John Pisa baada ya askofu huyo kusimikwa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi katika ibada iiyofanyika…
Na WAF – Lugalo, Dar Es Saalaam. Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa kiasi cha Bilioni 4.4 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya…
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro akiangalia sehemu ya shehena ya ufuta uliokusanywa katika ghala la kijiji cha Molandi kata ya Marumba wilayani…
Kilimanjaro; Kijana wa Miaka 13, Brian Hurt ameibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya pikipiki ya West Kili Forest Tour Challenge yaliyofanyika katika msitu…
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro wa pili kulia akiwa amemshika mototo mmoja kati ya watoto mapacha wanne wa Mwalimu wa shule ya msingi Wenje kata ya Nalasi wilayani humo Judith Chawe,wa kwanza kulia Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Tunduru Ombeni Hingi. Mkuu wa wilaya ya Tunduru na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo Julius Mtatiro wa tatu kushoto na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo wakiwa wameshika watoto mapacha wa Mwalimu wa shule ya msingi Wenye wilayani humo Judith Chawe wa kwanza kulia na mumewe Hamis Hamza Shaibu. ……………………………….. Na Muhidin Amri, Tunduru MWALIMU wa shule ya msingi Wenje kata ya Nalasi wilaya ya Tunduru mkoani…
Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Zuwena Omary akizungumza kwenye kikao Maalum cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Shinyanga kujadili taarifa ya CAG. Mkurugenzi…
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye ujenzi wa tenki mradi wa Kibaoni Halmashauri…
Adeladius Makwega-BUJORA MWANZA Katkati ya 2008 nikiwa nakaribia kuhitimu Shahada ya Sanaa ya Habari ya Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa kwa kuwa nilikuwa miongoni…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD cha Burundi Ndugu Reverien Ndukiriyo wakati wa…
MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ’Harmonize’ kumvalisha pete ya uchumba msanii wa Bongo Movie, Kajala Masanja. Tukio hilo limefanyika leo Jumamosi Juni 25,…
Na Catherine Mbena-ARUSHA Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Eliamani Sedoyeka ameelekeza Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuhakikisha hifadhi…
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH). Dkt Amos Nungu akikabidhi vyeti na zawadi kwa washindi wa fainali za Shindano la…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka akizungumza wakati wa zoezi la kupokea mashine ya kudurufu nyaraka (photocopy mashine) kutoka kwa taasisi ya huduma…
WAZIRI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa ,akishuhudia mchezo kati ya Mbeya City na…
MABINGWA Wapya wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara Yanga wamekabidhiwa Kombe la Ubingwa wa 28 baada ya mchezo wao dhidi ya Mbeya City…
Na Mwandishi wetu, Babati VYAMA vya ushirika Mkoani Manyara, vimepatiwa elimu endelevu mjini Babati kwenye ukumbi wa River Nile katika jukwaa la ushirika. Mrajis…
Rais wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo (kulia)mara baada ya kuwasili kwenye hafla ya…
Na. Zillipa Joseph, Katavi Wananchi katika Mkoa wa Katavi wameungana na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Katika matembezi ya hiari ya kumpongeza Rais Samia…
MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akizungumza mara baada ya mazungumzo hayo MKUU wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akiongoza kikao cha majadiliano…
BALOZI wa Utalii nchini Lydia Lukaba akizungumza na waandishi wa habari wakati akitangaza mbio za Marangu Nature Walk Ride&Run zenye lengo la kutangaza utalii…
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki chini ya uongozi wa Waziri Liberata Mulamula imeendelea kutumia majukwaa ya kimataifa kuitangaza nchi…
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi (ACP) Lucas Mwakatundu, akizungumza na waandishi wa habari leo wakati akitoa taarifa ya ajali iliyotokea…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia wimbo wa hamasa kutoka kwa askari wanaolinda usalama katika zoezi la uwekaji alama za mipaka kwenye Pori Tengefu la…
Balozi Togolani Edriss Mavura akiongea na Wadau wa Utalii wa nchi ya Korea kusini. Afisa Habari na Uhusiano wa Bodi ya Utalii Tanzania, Augustina…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akifungua kikao maalum cha CAG cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea…
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Jerry Muro akizungumza na Wananchi wa wilaya hiyo katika moja ya mikutano yake iliyofanyika hivi karibuni. Na Thobias…
Mbunge wa jimbo la Mafinga MjiniCosato Chumi akiongea na wananchi wa jimbo hilo wakati wa kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa…
Wafanyakazi wa Shirika la Madini STAMICO wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali yenye thamani ya shilingi ilioni 2.2 Kwa watoto waliolazwa kwenye Taasisi ya Mifupa…