MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MRATIBU WA CHANJO YA COVID DUNIANI.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kuliai) akiaagana na mgeni wake Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair…
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo, katika Kikao cha Menejimenti…
Waogeleaji wakishindana katika mashindano ya taifa ya vijana kwenye bwawa la kuogelea la shule ya sekondari ya Shaaban Robert. Meneja Masoko wa kampuni ya…
Afisa Utawala wa Barrick Tanzania ,Boniface Mlenga, akitoa maelezo juu ya huduma za Kampuni kwa wakazi wa Dar es Salaam waliofika kwenye banda la…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Jenifa Omolo (Kushoto) akiongea na Mstaafu Bi Sura Rwiza (kulia) aliyefika kuhakikiwa katika Banda la…
****************************** Na. Damian Kunambi, Njombe Wizara ya maliasili na utalii imetoa mizinga zaidi ya 300 kwa taasisi na vikundi mbalimbali vya ujasiliamali wilayani Ludewa…
Mkuu wa wilaya ya Nzega kamishina msaidizi wa polisi Advera Bulimba akitoa zawadi kwa mmoja ya wanafunzi walionda tuzo ya uandishi wa Insha iliyohusu mimba na ndoa za utotoni…
………………………. Wizara ya Maliasili na Utalii imekabidhi mizinga 300 kwa vikundi mbalimbali vilivyoundwa na wananchi wilayani Ludewa mkoani Njombe kama sehemu ya kuwajengea uwezo…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda akiagana na Waziri wa Elimu ya Msingi wa Afrika Kusini Mhe Matsie Angelina Motshekga…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Chimbila wilayani Ruangwa akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo, Julai 4, 2022. (Picha na…
Meneja wa Tarura wilaya ya Tunduru Mhandisi Silvanus Ngonyani wa pili kushoto,akiwatembeza baadhi ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali katika barabara ya lami…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mamlaka hiyo muda mfupi baada ya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Property International Ltd,…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Adolf Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Elimu ya Msingi wa Afrika Kusini Mhe.…
******************* Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Eliamani Sedoyeka Leo Julai 04, 2022 ametembela banda la TAWA lililopo ndani ya Banda…
************************** NA WAF-MWANZA Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewaomba wadau wa maendeleo wanaotekeleza miradi mbalimbali kanda ya ziwa kupeleka fedha katika miradi…
************************** Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, leo jijini Dar es Salaam,…
************************* Na. WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya inaendelea na mkakati wa kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza ili kuifanya jamii…
Balozi wa Canada nchini Mh. Pamela O’Donnell (wa pili kutoka kushoto) akigonga glasi na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Barrick wakati wa…
************************ Na Joseph Lyimo WANAWAKE wa jamii ya kifugaji wa Wilaya ya Simanjiro na Wilaya ya Kiteto, Mkoani Manyara, wengi wao wamechangamkia fursa ya…
Wanafunzi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiwa katika Vyumba vya Mitihani ikiwa ni wiki ya pili ya Mitihani inayoendelea…
Mkurugenzi wa Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi – Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Noel Mbonde akipata maelezo kutoka kwa wabunifu wa…
………………….. Na Faisal Abdul Jalil,COSTECH Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mhandisi Zena…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Maduhu Issack Kazi ametembelea Banda la Polisi katika maonesho ya 46 ya…
Na John Mapepele. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan ametoa vifaa vya michezo kwa timu zote 45 zinazoshiriki mashindano…
Waziri wa nishati , Januari Makamba akiwa katika mkutano wa uzinduzi wa bodi hiyo iliyofanyika jijini Arusha leo. Washiriki wa mkutano huo wakiwa katika…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimuapisha Dkt.Islam Seif Salum kuwa Katibu Mkuu (Kazi na Uwezeshaji) katika…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua maji katika eneo maalum la kuchotea maji katika Shule ya Msingi Mbecha wilayani Ruangwa kabla ya kuwasalimia wananchi, akiwa…
Kaimu Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii Bw.Medard Beyanga akimuonesha baadhi ya mashine zilizopo kwenye maabara hiyo Kaimu Mkuu wa kitengo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Ujenzi…
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Burian (wa tatu kutoka kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa taifa kabla ya kuanza kwa kikao cha…
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania Bara Mhe. Anne Makinda akizungumza na wadau mkoa wa Shinyanga Na Kadama Malunde – Malunde 1…
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe akihutubia umati wa wakazi wa Mkoa wa Tabora na Mikoa jirani katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika…