Ad imageAd image

Latest news

WAKUNGA ZINGATIENI WELEDI KWENYE UTOAJI WA HUDUMA – MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakunga na wataalamu wengine wa afya nchini kufanya kazi kwa weledi na kuongeza bidii katika kutoa huduma kwa wananchi wanaowahudumia. Amesema kuwa kada zote za afya zinasimamiwa na miiko na maadili ya taaluma na miongozo iliyowekwa. "Hivyo basi kila mmoja ahakikishe anazingatia maelekezo mahsusi ya utendaji wa kazi." Ameyasema hayo leo (Jumapili, 5

John Bukuku By John Bukuku

KAKATAA TUSIFUNGE NDOA BAADA YA KUMALIZA CHUO

Naitwa Vitusi,mkazi wa mkoa wa Mwanza, Tanzania, nilikuwa na mahusiano na mdada mmoja hivi, tangu mwaka 2012, tulipendana sana na kuaidiana mambo mengi siku za mbeleni. Kipindi hicho yeye alikuwa mwanafunzi, kwa hiyo sikutaka kuharibu malengo yake sikuwahi kumuuliza wala kumtaka kimwili mpaka akamaliza shule ndio tukakutana 2018 Kuanzia hapo tulipendana sana mpaka tukatambulishana nyumbani, yaani mahusiano yetu mpaka wazazi

John Bukuku By John Bukuku

MHE MUSTAFA H. MKULO AZIKWA KIJIJINI KWAKE KIMAMBA, KILOSA

Aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika Serikali ya awamu ya 4 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro, Mustafa Haidi Mkulo mapema Leo mazishi yake yamefanyika nyumbani wilayani Kilosa. Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Stagomena Tax, Waziri nchi ofisi ya

John Bukuku By John Bukuku

NJOMBE MJI YAFIKIA ASILIMIA 91 CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

NJOMBE, Halmashauri ya mji wa Njombe mefanikiwa kutoa chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri kati ya 9 - 14 kwa 91% na kuvuka lengo la angalau 80% kitaifa huku wakitarajia kufikia 100% ifikapo Mwezi Disember 2024 mwaka huu ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo. Simon Ngassa ni mtaalamu wa afya ambaye ni mratibu wa

John Bukuku By John Bukuku

DCEA KANDA YA KASKAZINI YASHIRIKI MATEMBEZI YA KUADHIMISHA SIKU YA AFYA YA AKILI DUNIANI

Na Prisca Libaga Arusha Ofisi ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya (DCEA)  Kanda ya Kaskazini,  Mei 4, 2024 imeshiriki Matembezi ya Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Akili Duniani. Maadhimisho hayo yameratibiwa na Asasi ya Kiraia ya Self Awareness for Everyone (SAFE) inayoendesha shughuli zake katika Jiji la Arusha.  Mgeni rasmi katika Maadhimisho hao alikuwa Mganga

John Bukuku By John Bukuku

WANAFUNZI WA KIMATAIFA CHUO KIKUU MZUMBE KITAAALUMA WAWASILISHA MATOKEO YA TAFITI ZA AWALI KUHUSU MAJI, ELIMU NA USALAMA WA CHAKULA

Mratibu Wa Mradi Wa Mu Iob Icp Connect Nchini Tanzania Ambaye Pia Ni Mhadhiri Wa Chuo Kikuu Mzumbe Dkt. Christina Shitima Akiwakaribisha Wadau Mbalimbali Waliohudhuria Wasilisho La Matokeo Ya Awali Ya Utafiti Wa Hatua Ya Mradi Wa Fuatiliamaji Unaohusu Vyanzo Vya Maji Vya Umma, Elimu, Maisha Na Ustahimilivu Mkuu Wa Idara Ya Uchumi Katika Kitivo Cha Sayansi Za Jamii Ambaye

John Bukuku By John Bukuku

WAZAZI MKOA WA MAGHARIBI WAFANYA KONGAMANO KUELEKEA WIKI YA WAZAZI

Mkuu wa Oganaizesheni Afisi Kuu ya CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kilupi akifunguwa kongamano la jumuiya ya wazazi wa Mkoa wa Magharibi Kichama,  lililofanyika skuli ya Ali Hassan Mwinyi Bububu Wilaya ya Magharibi A. Mlezi wa Mkoa wa magharibi kichama ambae pia Mwakilishi wa viti maalum kupitia jumuiya ya wazazi mkoa wa kusini Unguja Mhe. Sabiha Filfil Thani akizungumza katika kongamano la

John Bukuku By John Bukuku

MAWASILIANO YA BARABARA YA DAR – LINDI KUREJEA NDANI YA SAA 72, MAENEO MATANO YAKATIKA: WAZIRI BASHUNGWA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam, ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zilizombatana na kimbunga Hidaya. Amesema hayo Mkoani Lindi Mei 05, 2024, mara baada ya kuwasili na kukagua uharibifu

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

EXIM BANK YAENDELEZA MALIPO YA KIDIJITALI KWA KUSHIRIKIANA NA CHEF’S PRIDE DODOMA

Mkuu wa Idara ya Huduma za Kadi na  Malipo wa Exim Bank, Paritosh Babla (kulia), na Mkurugenzi Mtendaji wa Mgahawa wa Chef's Pride, Salim Mahsen Al Amry, wakisaini makubaliano ya

John Bukuku By John Bukuku

BENKI YA NMB YAZINDUA AKAUNTI YA KIKUNDI

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii, wanakikundi wataweza kutumia NMB Mkononi : ➡️ Kufungua akaunti kiurahisi

John Bukuku By John Bukuku