Friday, July 10, 2026

Michezo

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

3583 Stories
Dar yatamba mbio za mita 100 UMISSETA 2019

Dar yatamba mbio za mita 100 UMISSETA 2019

Mwanariadha Regina Deogratius  kutoka mkoa wa Pwani akimaliza mbio za mita 1500 na kujinyakulia medali ya dhahabu katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara…

ROSTAM ATOA AHADI KUIPATIA YANGA SHILINGI MILIONI 200

ROSTAM ATOA AHADI KUIPATIA YANGA SHILINGI MILIONI 200

********************* Mfanyabiashara maarufu hapa nchini ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Igunga mkuani Tabora, Mh.Rostam Azizi ameweza kutoa kiasi cha shiringi Milioni 200 za kitanzania…

KIBABAGE AUNGANA NA MSUVA DIFAA EL JADID

KIBABAGE AUNGANA NA MSUVA DIFAA EL JADID

Mlinzi wa  Mtibwa Sugar na Timu ya Tanzania vijana u20 Ngorongoro Heroes  Nickson Kibabage pamoja na Kiungo mshambuliaji wa kimatifa wa DR Congo,Jonathan Ifaso…

TUMIENI MASHABIKI KUJIJENGA KIUCHUMI-MAJALIWA

TUMIENI MASHABIKI KUJIJENGA KIUCHUMI-MAJALIWA

************************ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amevitaka vilabu vya soka nchini kutumia vema fursa ya kuwa na mashabiki wengi katika kuvifanya viweze kujitegemea kiuchumi. Waziri…

KUBWA KULIKO: WIKI YA MWANANCHI KUITIKISA TANZANIA

KUBWA KULIKO: WIKI YA MWANANCHI KUITIKISA TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa na Uchangishaji ya Yanga Anthony Mavunde amesema wamependekeza kwa uongozi kuanzisha wiki maalum itakayoitwa ‘Wiki ya Mwananchi’, itakakayokuwa maalum…