John Bukuku
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
CHIFU MMBELWA V: TANZANIA NI MWALIMU WETU
Mfalme Mmbelwa V wa Malawi Dkt Aupson Ndabazake Thole, akizungumza kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Vita vya Majimaji na Utalii wa Utamaduni ambalo ni…
WANAWAKE MKOA RUVUMA WAWAENZI MASHUJAA KWA VYAKULA VYA ASILI
Mama wa Mila wa Mkoa wa Ruvuma, Ni Zainabu Mangoma akiwafafanulia jambo kuhusu vyakula vya asili baadhi ya washiriki wa Tamasha la Kumbukizi ya…
SERIKALI YAZINDUA TIMU YA KITAIFA KUWEZESHA UGHARAMIAJI MIRADI YA MAENDELEO KWA NJIA MBADALA (APF)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Lawrence Mafuru akihutubia wakati wa uzinduzi wa Timu ya Kitaifa ya Kuwezesha Ugharamiaji wa Miradi…
ZAWADI ZA “NMB MASATABATA KIVYAKOVYAKO” ZAFIKIA MILIONI 80
Jumla ya Sh Milioni 80,000,000 zimetolewa na Benki ya NMB kwa wateja 80 waliojishindia katika droo ya MastaBata Kivyakovyako. Draw ya 8 ya shindano…
KITETO WAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 31.
………………………. John Walter-Kiteto Baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, limepitisha rasimu ya bajeti ya 31,542,315,632.41 bil kwa kipindi cha…
MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA AMANI, USALAMA NA USHIRIKIANO NCHINI DRC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Kumi wa Wakuu wa Nchi wa Serikali zinazohusika na…
IGP SIRRO AWATAKA ASKARI KUTUMIA WELEDI NA NIDHAMU
………………………… Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewataka askari Polisi kutumia weledi na nidhamu kwa manufaa ya Jeshi hilo na kwa…
SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla katika ofisi za…
MAJALIWA AWASILI DRC
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini DRC, Luteni Jenerali Paul Mella wakati alopowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa Kinshasa…