Ad imageAd image

Latest news

RAIS SAMIA AELEZEA MASIKITIKO YAKE KUFUATIA KIFO CHA MWANAHABARI CHARLES HILARY

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na watanzania kuomboleza kifo cha mmoja wa waasisi wa tasnia ya habari nchini, Bw. Charles Hilary, ambaye hadi mauti yanamkuta alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Zanzibar. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rais Samia ameonyesha kuguswa na msiba huo, akieleza kuwa amepokea kwa masikitiko taarifa za kifo

John Bukuku By John Bukuku

ETDCO YAKABIDHIWA MRADI WA KUUNGANISHA UMEME VITONGOJI 105 MBEYA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 105 Mkoani Mbeya. Katika hafla hiyo Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekabidhiwa kutekeleza mradi huo na Wakala wa Nishati

John Bukuku By John Bukuku

MREMBO AFUNGUKA SIRI YA KUMPATA MWANAUME HUYO KUTOKA KWA KIPUSA MWINGINE

Naitwa Mage, hapo awali nilipendana na mwanaume anayeitwa Ezron, lakini hakunipenda pia maana alikuwa akichumbiana na mwanamke mwingine anayeitwa Vero ambaye alikuwa mrembo, mwenye mafanikio na kujiamini kuliko mimi. Nilijaribu kila kitu ili kumshawishi Ezron kuwa na mimi, nilimnunulia zawadi, nikampikia chakula na kumpa mapenzzi, nilijaribu hata kufanya urafiki na Vero, nikitumaini kwamba angeona jinsi ...... SOMA ZAIDI

John Bukuku By John Bukuku

MITAMBO YA KISASA KUTUMIKA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA 

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda (katikati)akitizama magugumajo yaliyotolewa katika ziwa Victoria . Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda akizungumza na baadhi ya wakazi wa kigongo busisi pamoja na abiria waliokuwa wakisubili kuvuka juu ya uondoaji wa magugu maji katika ziwa Victoria  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda akizungumza mara baada ya kukagua zoezi la uondoaji wa 

Alex Sonna By Alex Sonna

DKT. TULIA AZINDUA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 105 MKOA WA MBEYA

*Zaidi ya Shilingi Bilioni 10.9 kutumika  *Wananchi wasisitizwa kulinda miundombinu ya umeme Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo Mei 10, 2025 amezindua rasmi mradi wa kusambaza umeme katika Vitongoji 105 katika Mkoa wa Mbeya. Akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kumkabidhi rasmi Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

John Bukuku By John Bukuku

KATIBU MKUU MALIASILI AFANYA ZIARA ENEO LA NGORONGORO KUKAGUA MIRADI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo tarehe 10 Mei, 2025 amefanya ziara katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati ikiwepo mradi wa Ujenzi wa Jengo la kisasa la Makumbusho ya Jiolojia, Ujenzi wa Jengo la Makao makuu ya NCAA linalojengwa nje ya Hifadhi ya Ngorongoro katika Wilaya

John Bukuku By John Bukuku

BALOZI HAMAD AKUTANA NA WAZIRI SHARIF ALI SHARIF ZANZIBAR

Leo, tarehe 10 Mei 2025, Mhe. Hamad Khamis Hamad, Balozi wa Tanzania - Msumbiji amekutana na Mhe. Sharif Ali Sharif, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji (Zanzibar) kwenye Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi (Zanzibar) na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya ushirikiano katika Sekta ya Uwekazaji kati ya Tanzania/Zanzibar na Msumbiji

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

Discord’dan bir kod aldım: STARTSPINS — 100 spin kullanıldı, para yatırma yok. Casino girişi anında yapıldı. Mobil kumar seçenekleri çok büyük ve vivi casino uygulama masaüstüyle gerçek zamanlı çevrimiçi oyun senkronizasyonunu destekliyor.