RAIS MH. SAMIA AONGOZA KUPOKEA MWILI WA HAYATI JPM DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Viongozi na Wananchi wa JiJi la Dodoma kupokea Mwili wa aliyekuwa Rais…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Viongozi na Wananchi wa JiJi la Dodoma kupokea Mwili wa aliyekuwa Rais…
******************************************* Bendi maarufu ya muziki wa dansi The Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni yenye makao yake nchini Ujerumani, wamepokea kwa masikitiko na uchungu mkubwa…
Nabii mkuu Tanzania wa kanisa la ngurumo ya upako Dr. Geordavie kisambale akiongea katika ibada ya jumapili uliofanyika leo katika hema la kukutania la…
Viongozi wa Serikali, Kitaifa na Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dodoma wameendelea kumlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili…
Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas akitoa uthibitisho kwa waandishi wa habari kuwa Marais wa nchi zaidi ya 10 wanatarajiwa kuwa sehemu ya…
Mmoja wa wafanyabiashara mkoani Arusha , Naushad Hussein akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na kifo Cha Hayati Dokta Magufuli (Happy Lazaro). ****************************************** Happy…
Kiongozi wa Waislamu Madhehebu ya Shia Ithnasheriya Tanzania Sheikh Hemed Jalala amemsifu aliyekuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli kwa…
******************************** Na Woinde Shizza , ARUSHA Mwenyekiti wa taifa wa chama cha wafayabiashara wa madini Tanzania Sammy Mollel ameeleza kuwa wamepokea kwa masikitiko makubwa…
Wananchi mbalimbali wakilia kwa uchungu baada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dk John Pombe Magufuli kwenye…