VETA YAANZA KUTOA ELIMU YA NISHATI YA UMEME JUA NCHINI
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya…
RUWASA KUTUMIA SHILINGI BILIONI 1.8 KUFANYA UPANUZI WA MRADI WA MAJI KATA YA KISUMBA WILAYANI KALAMABO
Kaimu meneja wa Ruwasa wilaya ya Kalambo Francis…
DKT MSOWOYA ALAANI TUKIO LA BABA KUMNYONGA MWANAE HUKU AKIJIREKODI VIDEO, ASISITIZA KUTUMIKA KWA NYIMBO ZA KUELIMISHA JAMII
Na Mwandishi wetu, Iringa. Mjumbe wa Kamati ya…
WANANCHI WILAYANI TANGANYIKA WATAKIWA KUTUNZA NA KULINDA VYANZO NA MIRADI YA MAJI
Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Busweru kulia,akimtiwsha ndoo ya maji mkazi wa kitongoji cha Kawambwe kata ya Majalila Neema Tumba,baada ya kukagua mradi wa maji uliotekelezwa na wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa). Baadhi ya wakazi wa kitongoji cha Kawambwe kata ya Majalila wilaya ya Tanganyika wakimsikiliza mkuu wa wilaya hiyo Onesmo Busweru kulia, baada ya kukagua utekelezaji wa mradi wa maji Majalila ambapo amewataka wakazi hao kuhakikisha wanatunza vyanzo na kulinda miradi ya maji ili iweze kuwa endelevu na kudumu kwa muda mrefu. Na Muhidin Amri, Tanganyika MKUU wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Busweru,amewataka wananchi wilayani humo kutunza na kulinda vyanzo vya maji ili miradi ya maji inayojengwa iweze kudumu kwa na kuendelea kuwaondolea adha ya upatikanaji wa maji katika maeneo yao. Busweru ametoa agizo hilo jana,wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Majalila Halmashauri ya wilaya Tanganyika baada ya kukagua mradi wa maji uliotekelezwa na wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa). Alisema,maji ni rasimali adhimu kwa maisha ya binadamu na viumbe hai wengine na haina mbadala wake,hivyo wananchi wanapaswa kuvilinda vyanzo,miradi ya maji,miundombinu na mazingira ili kuepuka kutokea ukame unaoweza kusababisha vyanzo vyanzo vya maji kukauka. Alisema, mradi wa maji Majalila ni umekuja kwa muda muafaka kwani umeleta suluhu ya changamoto ya huduma ya maji safi na salama kwa wananchi wa eneo hilo ambao kwa muda mrefu hawakuwa na maji uhakika,badala yake walitegemea visima vya asili kupata maji kwa matumizi yao ambayo hayakuwa safi na salama.…
JUMUIYA YA WAZAZI (CCM) WILAYA YA TANGA WAMPONGEZA DKT TULIA KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA IPU
Na Oscar Assenga, TANGA JUMUIYA…
WAZIRI KAIRUKI AMWAPISHA KIIZA KAMISHNA MPYA WA MGORONGORO
Na John Mapepele Waziri wa Maliasili na Utalii,…
UBIA WA BARRICK NA TWIGA WAPONGEZWA KWA KUENDELEA KULETA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MADINI NCHINI TANZANIA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa…
PROF. MDOE AMTAKA MKANDARASI WA MRADI WA EASTRIP DIT- MWANZA KUFIDIA MUDA ULIOPOTEA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na…
MKATABA WA BANDARI NA DP WORLD HAUKUWA WA SIRI
Na Sophia Kingimali MKURUGENZI wa Idara ya Habari…
WAZIRI MKUU KUWA MGENI RASMI MKUTANO WA WADAU WA ANGA
Na Sophia Kingimali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…