BARABARA YA MLIMA KITONGA KUWA NJIA NNE
📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za…
Na Jackline Minja, WMJJWM, Kilimanjaro Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto na utoaji wa mafunzo ya ustawi wa jamii kwa wananchi ili kupunguza…
Na Mwandishi wetu, Mirerani CHANGAMOTO ya kutokamilika kwa daraja la barabara ya Mirerani – Mbuguni eneo la mkuyuni mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro…
Hakuna kulala, ndivyo kauli ya Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru baada ya kufanya ziara ya kukagua ukarabati wa barabara ndani ya hifadhi…
Na Said Said WMJJWM, Dar Es Salaam  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua Mkakati…
Na. OWM – KAM (Dar es salaam) Waajiri kutoka Sekta Binafsi wamefurahishwa na kuipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Wazifri Mkuu – Kazi, Ajira na…
 Rachel Kaduma Kaimu Mkurugenzi idara ya uendelezaji miji na vijiji- TAMISEMI  amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Green and Smart Cities unaendelea katika hatua…
Wananchi Wilayani Kwimba na maeneo jirani wameishukuru Doris Mollel Foundation kwa kuleta mabadiliko makubwa katika Wilaya ya Kwimba, Mwanza, baada ya kufadhili na kusimamia…
*Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu amesisitiza umuhimu…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesisitiza juu ya umuhimu wa kutambua mabadiliko na mageuzi makubwa ya kiteknolojia kunakopelekea ongezeko la matumizi…