Timu ya Taifa ya DR Congo imeondolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na England katika mchezo wa hatua ya 32 bora.
Kutokana na ushindi huo, England imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano hiyo mikubwa duniani.

Timu ya Taifa ya DR Congo imeondolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na England katika mchezo wa hatua ya 32 bora.
Kutokana na ushindi huo, England imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano hiyo mikubwa duniani.