Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 81 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiakos Piraeus usiku wa jana Uwanja wa Georgios Karaiskaki, Pireas nchini Ugiriki kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Timu hizo zitarudiana Februari 27 London PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LACAZETTE AING’ARISHA ARSENAL UGENINI EUROPA LEAGUE YAICHAPA 1-0 OLYMPIACOS
By Alex Sonna
February 21, 2020 | 5:55 am

Related Stories
View all
Michezo
3 days ago
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Michezo
3 days ago
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
