WACHEZAJI wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Diogo Jota baada ya kufunga mabao matatu dakika za 16, 33 na 54 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Atalanta kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Gewiss Jijini Bergamo. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 47 na Sadio Mane dakika ya 49 na kwa ushindi huo Liverpool inafikisha pointi tisa na kuendelea kuongoza Kundi D kwa pointi tano zaidi ya Ajax inayofuatia baada ya kila timu kucheza mechi tatu PICHA ZAIDI SOMA HAPA
DIOGO JOTA APIGA HAT TRICK LIVERPOOL YAICHAPA 5-0 ATALANTA LIGI YA MABINGWA ULAYA
By Alex Sonna
November 4, 2020 | 8:17 am

Related Stories
View all
Michezo
2 hours ago
HISPANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…
Michezo
20 hours ago
ENGLAND YAIBUKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2026, YICHAPA UFARANSA 6-4
Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…
