Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power leo. Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na Kasper Schmeichel, wakati Leicester walilalamika kunyimwa penalti mbili PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN CITY YAICHAPA 1-0 LEICESTR CITY UWANJA WA KING POWER
By Alex Sonna
February 23, 2020 | 5:14 am

Related Stories
View all
Michezo
10 minutes ago
KUNDI C LAFUKUTA ‘MOTO’ BRAZIL, MOROCCO NA SCOTLAND ZATAFUTA NJIA ZA KUFUZU
NA MWANDISHI WETU, NOEL RUKANUGA Katika michuano ya Kombe la Dunia 2026, huenda hakuna kundi lililoibua mvuto mkubwa kama Kundi C. Baada ya kila…
Michezo
20 hours ago
HATIMAYE SIMBA YAFIKA FAINALI YA KOMBE LA CRDB BAADA YA KUSUBIRI MIAKA MINNE
Kikosi Cha Wekundu wa Msimbazi Simba kimefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la CRDB kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-0, katika mechi ya nusu fainali…
