Lionel Messi akishangila kibabe baada ya kufunga mabao manne dakika za 14, 37, 40 na 87 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou, bao lingine likifungwa Arthur dakika ya 89. Kwa ushindi huo, kikosi cha Quique Setien kinafikisha pointi 55 katika mchezo wa 23 na kurejea kileleni mwa La Liga, sasa kikiwazidi pointi mbili mahasimu, Real Madrid ambao usiku huu wanacheza mechi yao ya 23 pia dhidi ya Levante PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MESSI APIGA NNE BARCELONA YAICHAPA 5-0 EIBAR LA LIGA
By Alex Sonna
February 23, 2020 | 5:11 am

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
MHE. MBUNGE ANNE KILANGO AJIVUNIA MAFANIKIO YA ISSA CHOLE KUPITIA SAMIA CUP
Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole,…
Mchanganyiko
3 days ago
MWIJAGE CUP YAZINDULIWA KAMACHUMU, TIMU 20 ZASHINDANIA SHILINGI MILIONI 6
Na Silivia Amandius Muleba,Kagera. Mashindano ya soka kwa vijana ya Kamachumu Paul Mwijage Cup yamezinduliwa rasmi katika Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba mkoani…
