Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Plc, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza wakati wa kongamano la Data Tamasha linalokusanya wadau mbalimbali wa takwimu kwa maendeleo endelevu linalofanyika jijini Dar Es Salaam. Wengine ni Meneja Mkazi wa CRS Tanzania, Kelli Hynes na Mkurugenzi Uendeshaji wa FSDT, Irene Mlola.