Aaron Cresswell akishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la pili kwa shuti la mpira wa adhabu dakika ya 84 kufuatia Andriy Yarmolenko kufunga la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN UNITED BADO HALI TETE ENGLAND,YATANDIKWA 2-0 NA WEST HAM UNITED
By Alex Sonna
September 22, 2019 | 7:59 pm

Related Stories
View all
Michezo
5 days ago
RAIS SAMIA ATOA NDEGE YA KUWACHUKUA MASHUJAA SERENGETI BOYS WALIOFIKA FAINALI YA AFCON U-17
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa usafiri wa ndege kwa ajili ya kuwachukua mashujaa wa Timu ya…
Michezo
1 week ago
SERENGETI BOYS YATIKISA AFRIKA, YATINGA FAINALI YA AFCON U-17
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Vijana ya Tanzania, Serengeti Boys, imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika…
