Ad imageAd image

Latest news

BENKI YA NMB YAZINDUA AKAUNTI YA KIKUNDI

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii, wanakikundi wataweza kutumia NMB Mkononi : ➡️ Kufungua akaunti kiurahisi na papo hapo kwa kubofya *150*66# ➡️ Kuchangia michango na kukopeshana mikopo ya kikundi kupitia simu zao ➡️ Kuhamisha fedha kwa wanakikundi bila makato yoyote ➡️ Kupata taarifa za kikundi

John Bukuku By John Bukuku

MWENENDO WA KIMBUNGA “HIDAYA” KATIKA BAHARI YA HINDI MASHARIKI MWA PWANI YA TANZANIA

Dar es Salaam, 03 Mei 2024 saa 2:00 Usiku: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya nchi yetu. Hadi kufikia saa 9 mchana wa leo, Kimbunga “HIDAYA” kilikuwa katika eneo la bahari takriban kilomita 276 kutoka pwani ya Kilwa (Mkoa wa Lindi) na

John Bukuku By John Bukuku

WIZARA YA AFYA SIERRA LIONE YAJIFUNZA NAMNA YA KUANZISHA MATIBABU YA MOYO TANZANIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wageni kutoka nchini Sierra Leonne ambao walitembelea Taasisi hiyo leo kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na kujifunza namna ambavyo JKCI imepiga hatua kubwa katika  matibabu ya moyo barani Afrika. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali ya Sierra Leonne Dkt. Sartie Mohamed

John Bukuku By John Bukuku

ZAIDI YA MABWAWA 100 YA UMWAGILIAJI KUFANYIWA USANIFU

NIRC Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeishukuru serikali kwa kuongeza bajeti kiasi cha shilingi bilioni 403 kutoka bilioni 373 kwa aajili utekelezaji wa miradi  ya umwagiliaji nchini. Akizungumza  katika viwanja vya bunge jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Raymond Mndolwa amesema serikali kuongeza fedha Tume ya Taifa ya Umwagiliaji itasaidia kufikia malengo ya Taifa ya pato

John Bukuku By John Bukuku

DKT. BITEKO APONGEZA MCHANGO WA KANISA KWENYE MAENDELEO YA TAIFA

* Awahimiza Wachungaji kuwa na Maono Makubwa *Awataka kuhubiri amani na upendo * Awahimiza kumtia moyo Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewashauri wachungaji kuwa na maono makubwa katika kuongoza waumini katika makanisa yao ili kujenga Taifa la watu wenye mwelekeo chanya. Akizungumza leo (Mei 3, 2024) Jijini Dodoma

John Bukuku By John Bukuku

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI KATIKA PICHA.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maji Jumaa Aweso. Bungeni Jijini Dodoma. Mei 3, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene. Bungeni jijini Dodoma, Mei 3, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mifugo na

John Bukuku By John Bukuku

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ HUSSEIN MWINYI AWATEMBELEA MJANE WA MAREHEMU MZEE JUMBE NA MJANE WA MUASISI WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MAREHEMU HAFIDH SULEIMAN.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mjukuu wa Mwanamapinduzi Marehemu Hafidh Suleiman. Lukman Iddi Hafidh Suleiman, alipofika nyumbani kwa marehemu Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-5-2024, kwa ajili ya kumjulia hali kuwasalimia na (kushoto kwa Rais) Mjane wa Marehemu Bi.Mtumwa Hussein Farahan.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na

John Bukuku By John Bukuku

MZAVA AITAKA STAMICO KUONGEZA KASI YA UJENZI KIWANDA CHA MAKAA YA MAWE KISARAWE

Na Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Mei 3 KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mzava, amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuongeza kasi ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kiwanda cha makaa ya mawe, kata ya Visegese wilayani Kisarawe, Mkoani Pwani kabla ya Mei 30 , mwaka huu. Mradi huo ambao ukikamilika utagharimu sh.bilioni 2.4 kati ya

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

BENKI YA NMB YAZINDUA AKAUNTI YA KIKUNDI

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii, wanakikundi wataweza kutumia NMB Mkononi : ➡️ Kufungua akaunti kiurahisi

John Bukuku By John Bukuku

NMB YANG’ARA MAONESHO YA (OSHA) ARUSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya

John Bukuku By John Bukuku