Ad imageAd image

Latest news

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN MWINYI AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA IBADA YA SALA YA IJUMAA MSIKITI WA MCHANGANI UNGUJA LEO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani Wilaya ya Mjini Unguja Sheikh.Farid Hadi Ahmed alipowasili katika viwanja vya msikiti huo kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo 3-5-2024,na (kushoto kwa Rais) Ustadh Abdalla Issa na (kulia kwa Rais) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar

John Bukuku By John Bukuku

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MWANA WA MFALME – BI. ZAHRA AGA KHAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 3, 2024  amekutana  na Mwenyekiti  wa Kamati Tendaji  ya Taasisi ya Huduma za Aga Khan, Mwana wa Mfalme Bi. Zahra Aga Khan na ujumbe wake, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma. Mheshimiwa Waziri Mkuu amemwambia Kiongozi huyo kuwa Serikali inatambua jitihada kubwa zinazofanywa na Taasisi hiyo hasa katika sekta ya Afya na Elimu

John Bukuku By John Bukuku

IMF YAFANYA MAJADILIANO NA TANZANIA KUHUSU USHIRIKIANO WA MAENDELEO

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), na Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Charalambos Tsangarides, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya Wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) waliowasili nchini kwa ajili ya kufanya tathimini

John Bukuku By John Bukuku

MAJALIWA: WATENDAJI WA SERIKALI ONDOENI UKIRITIMBA UTOAJI WA HABARI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza akiwa mgeni rasmi  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani kwenye ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Aprili 3, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma kuwa mgeni rasmi kilele cha

Alex Sonna By Alex Sonna

MAKAMU WA RAIS AKIKABIDHIWA KITABU CHA MIAKA 60 YA JMT

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa Kitabu cha Safari ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Picha na Balozi wa Tanzania nchini Italia ambaye ni mmoja wa Waandaaji wa Kitabu hicho Mhe. Mahmoud Thabit Kombo. Makabidhiano hayo yamefanyika OfisiNI kwa Makamu wa Rais mkoani Dodoma.

John Bukuku By John Bukuku

KAMATI YA BUNGE YAIMWAGIA SIFA NIRC KUTEKELEZA VIZURI MIRADI YA UMWAGILIAJI

*Yampongeza Mkurugenzi Mkuu Ndugu Mndolwa, yamtia moyo achape kazi MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, imeipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kwa kazi kubwa inayoifanya katika kufanikisha Kilimo cha umwagiliaji nchini. Aidha, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa NIRC Raymond Mndolwa kwa kuiongoza vyema Tume hiyo kutekeleza mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita

John Bukuku By John Bukuku

CHIKOTA APENDEKEZA TOZO ZINAZOMUUMIZA MKULIMA WA KOROSHO ZIFUTWE.

Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota,akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/25 bungeni jijini Dodoma . Na Mwandishi Wetu, DODOMA Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan namna anavyothamini sekta ya kilimo na dhamira ya kuwakomboa wakulima kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo kutoka Sh.Bilioni 900 hadi Trilioni 1.24.

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

NMB YANG’ARA MAONESHO YA (OSHA) ARUSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya

John Bukuku By John Bukuku

BENKI YA TAIFA YA USHIRIKA MKOMBOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb), amesema wizara yake kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika katika mwaka 2024/2025 itaratibu ukamilishaji wa kuanzisha Benki ya Taifa ya Ushirika kwa kuhamasisha

John Bukuku By John Bukuku