Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiangalia Mitungi wa gesi mara baada ya kuzindua jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati safi…
Mwanzilishi wa Mradi wa Africa Bridge na mtunzi wa Kitabu cha ‘And the Chidren Shall Lead Us, chenye simulizi ya kuwatoa watoto kwenye umasikini na kuwapa maarifa ya kilimo endelevu, kuboresha maisha yao, Barry Childs (kushoto) akikata utepe kuzindua kitabu hicho kupitia mradi wa Africa Bridge nchini, jijini Dar es Salam. Kulia ni Mtunzi wa Vitabu, Philip Whiteley Mwandishi wa…
Na Sophia Kingimali. BARAZA la Taifa la mitihani (NECTA) limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita na Ualimu huku wakitoa rai kwa kamati za mitihani kuhakiksha usalama wa vituo vya mitihani unaimarishwa na vituo vinatumika kwa mujibu wa mwongozo uliotolewa na baraza hilo. Akizungumza wakati akitoa taarifa ya kuanza mtihani huo kwa waandishi wa habari leo Mei 5,2024 Jijini…
Mratibu elimu katika kata ya Mlingotimashariki wilayani Tunduru Erith Banga katikati,akimsikiliza Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Tunduru Mchanganyiko Sabila Lipukila kushoto,kuhusu ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya elimu katika shule hiyo yenye watoto zaidi ya 1,738 kati yao wanafunzi 43 ni wenye mahitaji maalum,kulia Mwalimu wa shule hiyo Ambilikile Mwandembo. Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Tunduru Mchanganyiko wilayani…
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Saleh Juma,akiangalia sehemu ya mifereji ya kupitisha maji katika barabara ya Songea-Mangaka eneo la daraja la Mto Muhuwesi wilayani Tunduru ambayo imeharibika vibaya kutokana na mvua za masika akiwa katika ziara ya kukagua miundombinu ya barabara hiyo jana. Meneja wa TANROADS Mkoani Ruvuma Mhandisi Saleh Juma kushoto,akitoa maelekezo kwa mhandisi wa Kampuni y…
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Loius Chomboko akizungumzia kuhusu madaktari bingwa kuanza kutoa huduma za kibingwa katika hospitali za Halmashauri zote mkoani Ruvuma. ......................... Na Albano Midelo,Songea Huduma za mkoba za madaktari Bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Mei sita hadi 10 mwaka huu. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Louis…
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akitoa maelekezo wakati akikagua moja ya shimo la choo lililojengwa katika nyumba mpya za waathirika wa maafa ya maporomoko ya tope, mawe na miti kutoka mlima Hanang’ katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba hizo la Gidagamowd lililopo katika Kitongoji cha Waret Wilayani Hanang’ mkoani…
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe Mhe, Geophrey Pinda akikata utepe kuzindua gari la kubebea wagonjwa la Kituo cha afya cha Afya Kibaoni tarehe 4 Mei 2024. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe Mhe,…
Confirmed
0
Death
0
Mkuu wa Idara ya Huduma za Kadi na Malipo wa Exim Bank, Paritosh Babla (kulia), na Mkurugenzi Mtendaji wa Mgahawa wa Chef's Pride, Salim Mahsen Al Amry, wakisaini makubaliano ya…
Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii, wanakikundi wataweza kutumia NMB Mkononi : ➡️ Kufungua akaunti kiurahisi…
Sign in to your account