Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

MKURUGENZI WA FURAHA FM AMLILIA MAREHEMU NOEL MWINGIRA WA AYO TV, AWAASA VIJANA WAISHI KWA KUPENDANA

Mwili wa marehemu Noel Mwingira ukipelekwa eneo ulipohifadhiwa kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi wa Furaha Tv na Furaha Fm Bw. Furaha Dominic akizungumza waandishi wa habari wakati wa kuaga mwili wamarehemu Noel Mwingira katika viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam.    ...........................  Vijana nchini wametakiwa kuwa na upendo, umoja na mshikamano katika maisha yao

John Bukuku By John Bukuku

MAMIA YA WAFANYAKAZI KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED WASHIRIKI MEI MOSI MANYARA .

Ferdinand Shayo ,Manyara .   Mamia ya Wafanyakazi wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited wameshiriki maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi ya Mei Mosi yaliyofanyika kimkoa Katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa Wilayani Babati Mkoani Manyara na kupambwa na msafara mrefu wa magari ya kusambaza vinywaji kutoka kwenye kampuni hiyo.   Mkurugenzi wa Kamapuni hiyo David Mulokozi

Alex Sonna By Alex Sonna

EWURA YAPATA TUZO USIMAMIZI BORA MIRADI YA KIMKAKATI

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko (kushoto) akimpatia tuzo ya EWURA, Ofisa wa EWURA anayehusika na ushirikishwaji wa wazawa katika Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia nchini, Bw. Joseph Mboma (wa pili kulia). Mchumi kutoka EWURA,Bw. Joseph Mboma,akiwa ameshika ngao na cheti kilichotolewa kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (

Alex Sonna By Alex Sonna

MOROGORO TAYARI KUFANIKISHA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA – RC MALIMA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Alhajii Adam K. Malima amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya uratibu wa kufanikisha kambi ya madaktari Bingwa wa Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kanda ya kati ikihusisha Hospital za Rufaa Mikoa ya Morogoro, Iringa, Singida, Dodoma na Pwani . Hatua hiyo ni katika kuhakikisha serikali inasogeza huduma za

John Bukuku By John Bukuku

BODI YA WAKURUGENZI YAPONGEZA HATUA YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA NCAA

Na Mwandishi wetu, NCAA. Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Jengo la makao makuu wa NCAA linalojengwa Karatu Mkoani Arusha. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi NCAA Jenerali Venance Mabeyo (mstaafu) amesema ujenzi wa jengo hilo ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ya kupunguza shughuli za kibinadamu ndani ya hifadhi ili

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA, MISRI YAENDELEZA MAKUBALIANO SEKTA YA AFYA

Na. WAF - Dodoma Serikali ya Tanzania na Misri ziliingia mkataba wa makubaliano kati ya Wizara ya Afya na Shirika la ALAMEDA Healthcare Group Oktoba, 2022 ili kushirikiana katika nyanja ya Afya hasa upande wa huduma za kimatibabu kwa kubadilishana uzoefu, usimamizi wa hospitali na matibabu ya wagonjwa wa Kimataifa. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameeleza hayo leo Aprili

John Bukuku By John Bukuku

WAZIRI MKUU KUSHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 20 YA MIRADI YA UMWAGILIAJI

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika utiaji saini mikataba 20 ya ukarabati na ujenzi wa miradi ya umwagiliaji baina ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji chini ya Wizara ya Kilimo na Wakandarasi jijini Dodoma hapo kesho. Mikataba hiyo ni ya ujenzi na ukarabati wa Skimu 14 pamoja na miradi sita (6) ya usanifu wa kina na upembuzi

John Bukuku By John Bukuku

BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK KWENYE MAONESHO YA OSHA NA KUPONGEZA KAMPENI YAKE YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’

NAIBU  Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Barrick chini kupitia migodi yake ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi kwa kuzingatia kanuni za Afya na usalama kwa ufasaha kupitia sera yake ya ‘Journey to zero’.   Biteko alitoa pongezi hizo baada ya kutembelea banda la Barrick Tanzania katika maonesho ya afya na usalama mahali

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

TIC IMEKUWA INJINI KUTEKELEZA MAONO YA RAIS DKT. SAMIA – MAJALIWA.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi na wafanyakazi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kuwa injini ya kutekeleza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muuumgano wa Tanzania Dkt. Samia

John Bukuku By John Bukuku

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA IDA21 JIJINI NAIROBI-KENYA

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), akipokelewa na Waziri wa Fedha wa Kenya Prof. Njuguna Ndung’u, alipowasili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za

John Bukuku By John Bukuku