Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

RUVUMA KITUO CHA PILI KWA UKUBWA  UZALISHAJI WA MBEGU BORA NCHINI

   Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed akikagua mbegu bora za mazao  zinazozalishwa na  Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) kwenye viwanja vya shamba la mbegu Namtumbo katika maadhimisho ya siku ya mkulima yaliyofanyika wilayani Namtumbo. Mashamba ya mbegu eneo la NAFCO wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma,katika msimu  huu  ASA Namtumbo  wanatarajia kuzalisha zaid ya tani 1,275 za mbegu

Alex Sonna By Alex Sonna

RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA IDA NAIROBI NCHINI KENYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 29 Aprili, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha

John Bukuku By John Bukuku

MIRADI YA KIMKAKATI ITUMIKE KUKUZA UCHUMI WA NDANI DKT. BITEKO

*Awataka Watanzania kuwa waaminifu *Asisitiza ushiriki wa makampuni ya Kitanzania kuongezeka *Apongeza Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kukuza ushiriki wa Watanzania kwenye shughuli za kiuchumi *Atoa tuzo kwa makampuni yaliyofanya vizuri kwenye kuzingatia local content Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka Watanzania kutumia fursa zilizopo kwenye uwekezaji miradi ya kimkakati kuhakikisha kuwa

John Bukuku By John Bukuku

HATUA ZA DHARURA ZAENDELEA KUCHUKULIWA NA TANROADS MOROGORO KUREJESHA MIUNDOMBINU

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi wa Mkoa huo kuwa watulivi wakati Serikali ikiendelea kuchukuwa hatua za dharura kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibika katika kipindi hiki cha mvua kubwa . Akizungumzia athari za mvua hizo tarehe 28 Aprili 2024; Meneja wa TANROADS Mkoa wa Morogoro Mhandisi Alinanuswe L. Kyamba ameeleza kuwa tayari Wakandarasi wapo

Alex Sonna By Alex Sonna

SERIKALI YATOA BIL 1.5 UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA MWANZA

Serikali imetoa shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika maeneo mbalimbali Mkoani Mwanza. Fedha hizo zimetolewa na serikali kwenda Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Mwanza ili kuanza haraka kazi ya marekebisho miundombinu ya barabara na madaraja ambayo yameharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Meneja wa TANROADS Mkoa Wa Mwanza Mhandisi Paschal Ambrose

Alex Sonna By Alex Sonna

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KUDHIBITI MAJANGA YA MIGODI YA BARRICK NCHINI YAPONGEZWA NA SERIKALI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA OSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda katika Banda la Barrick   ******   Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi wamepongeza kazi kubwa na nzuri inayofanywa na migodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu,North Mara na Buzwagi kwa kutumia vifaa vya teknolojia ya kisasa kudhibiti majanga sambamba na kufikisha elimu ya Afya na Usalama kwa wananchi.  

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

TIC IMEKUWA INJINI KUTEKELEZA MAONO YA RAIS DKT. SAMIA – MAJALIWA.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameupongeza uongozi na wafanyakazi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kuwa injini ya kutekeleza maono ya Rais wa Jamhuri ya Muuumgano wa Tanzania Dkt. Samia

John Bukuku By John Bukuku

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA IDA21 JIJINI NAIROBI-KENYA

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), akipokelewa na Waziri wa Fedha wa Kenya Prof. Njuguna Ndung’u, alipowasili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za

John Bukuku By John Bukuku