OR-TAMISEMI Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Festo Dugange amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano bado ni kikubwa ambapo kwa mkoa wa Kigoma ni 27.1%, Katavi 32.2%, Njombe50.4%, Songwe 31.9% na Rukwa 49.8%. Amesema hayo katika hafla ya kusaini hati za makubaliano ya utekelezaji wa…
Serikali imeamua kuboresha uelewa wa somo la Kiingereza kuanzia Shule za msingi darasa la kwanza badala ya kuanzia darasa la Tatu kama hapo awali ili kuwajengea uwezo wanafunzi hao ingali mapema kuelewa somo hilo kwa ueledi. Naibu Katibu Mkuu Tamisemi (Elimu) Dkt. Charles Msonde amezungumza hayo na walimu wa wilaya ya Chato na amesema moja ya maboresho ni ufundishaji wa…
Na. Damian Kunambi, Njombe Mkuu wa wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amewataka madaktari bingwa wa Rais Samia Suluhu Hassan walio wasili wilayani hapo kwa lengo la kutoa huduma kwa akina mama wajawazito, magonjwa ya watoto, Usingizi na ganzi, upasuaji pamoja na magonjwa ya ndani kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha kuwa kwa kipindi kifupi watakacho kuwepo wanahudumia wananchi wengi…
*Maonesho na Kongamano la Wachimbaji Madini kufanyika Dodoma Juni 2024 Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amekutana na kuzungumza katika kikao kifupi na Kamati ya Maandalizi ya Wiki ya Madini, Maonesho na Kongamano la Wachimbaji Madini Tanzania. Kikao hicho kimefanyika leo Mei 7, 2024 ofisini kwake Jijini Dodoma ambapo Kamati hiyo imefika ofisini hapo ili kutoa taarifa ya maandalizi…
Wanakijiji wa kijiji cha Siliwiti wilayani Momba wametakiwa kuachana na imani potofu za kishirikina ikiwemo ramli chonganishi pamoja na unywaji wa pombe uliopindukia. Kauli hiyo imetolewa Mei 07, 2024 na Koplo James Chitukulu wakati akizungumza na wanakijiji hao kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu madhara ya imani potofu za kishirikina na kujichukulia sheria mkononi na kusababisha mauaji pamoja na vitendo…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko alipowasili kwenye viwanja vya jengo la Hazina jijini Dodoma kuongoza kikao kazi cha Mawaziri, Mei 07, 2024. Wa tatu kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Jenista Mhagama na wa pili kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri…
Na Gideon Gregory, Dodoma. Ili kuwezesha na kuimarisha huduma ya utoaji na upatikanaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wenye sifa na uhitaji, Serikali itatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 40 wenye ufaulu wa juu kwenye masomo ya sayansi hususani wanafunzi wa kike waliohitimu Mtihani wa Taifa ya Kidato cha Sita na shahada ya awali kupitia Chuo…
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Taska Restituta Mbogo, aliyetaka kufahamu lini Serikali itawaongezea pesheni wastaafu wanaolipwa shilingi 100,000 kwa mwezi na Hazina. ........................ Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa imeunda kamati ya kukusanya na kuchambua maoni na mapendekezo ya viwango vya nyongeza ya pensheni ili kuwezesha maandalizi ya rasimu…
Confirmed
0
Death
0
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Taska Restituta Mbogo, aliyetaka kufahamu lini Serikali itawaongezea pesheni wastaafu wanaolipwa shilingi 100,000 kwa mwezi…
Na Mwandishi Wetu Serikali imetenga kiasi cha TZS bilioni 18.5 kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali nchini zitakazotolewa kama mikopo yenye masharti nafuu kupitia Benki ya NMB. Makubaliano ya utaratibu wa…
Sign in to your account