NIRC Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeishukuru serikali kwa kuongeza bajeti kiasi cha shilingi bilioni 403 kutoka bilioni 373 kwa aajili utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji nchini. Akizungumza katika viwanja vya bunge jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Raymond Mndolwa amesema serikali kuongeza fedha Tume ya Taifa ya Umwagiliaji itasaidia kufikia malengo ya Taifa ya pato…
* Awahimiza Wachungaji kuwa na Maono Makubwa *Awataka kuhubiri amani na upendo * Awahimiza kumtia moyo Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewashauri wachungaji kuwa na maono makubwa katika kuongoza waumini katika makanisa yao ili kujenga Taifa la watu wenye mwelekeo chanya. Akizungumza leo (Mei 3, 2024) Jijini Dodoma…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maji Jumaa Aweso. Bungeni Jijini Dodoma. Mei 3, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene. Bungeni jijini Dodoma, Mei 3, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mifugo na…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mjukuu wa Mwanamapinduzi Marehemu Hafidh Suleiman. Lukman Iddi Hafidh Suleiman, alipofika nyumbani kwa marehemu Kilimani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 3-5-2024, kwa ajili ya kumjulia hali kuwasalimia na (kushoto kwa Rais) Mjane wa Marehemu Bi.Mtumwa Hussein Farahan.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na…
Na Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Mei 3 KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Godfrey Mzava, amelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuongeza kasi ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kiwanda cha makaa ya mawe, kata ya Visegese wilayani Kisarawe, Mkoani Pwani kabla ya Mei 30 , mwaka huu. Mradi huo ambao ukikamilika utagharimu sh.bilioni 2.4 kati ya…
Awahimiza Wachungaji kuwa na Maono Makubwa. Awataka kuhubiri amani na upendo. Awahimiza kumtia moyo Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewashauri wachungaji kuwa na maono makubwa katika kuongoza waumini katika makanisa yao ili kujenga Taifa la watu wenye mwelekeo chanya. Akizungumza leo (Mei 3, 2024) Jijini Dodoma wakati wa…
Na WAF - Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa mapendekezo kwa Baraza la Mawaziri wa Kisekta wa Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) lipitishe maombi ya Tanzania kuanzisha vituo viwili vya umahiri kwa Afrika Mashariki vitakavyotoa huduma za Afya ya Kinywa na Meno pamoja na huduma za upandikizaji Uloto. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema…
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na wageni kutoka nchini Sierra Leonne ambao walitembelea Taasisi hiyo leo kwaajili ya kuona huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa pamoja na kujifunza namna ambavyo JKCI imepiga hatua kubwa katika matibabu ya moyo barani Afrika. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali ya Sierra Leonne Dkt. Sartie Mohamed…
Confirmed
0
Death
0
Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya…
Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb), amesema wizara yake kupitia Tume ya Maendeleo ya Ushirika katika mwaka 2024/2025 itaratibu ukamilishaji wa kuanzisha Benki ya Taifa ya Ushirika kwa kuhamasisha…
Sign in to your account