RUWASA WILAYA YA MBOZI YATENGEWA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 11 KWA AJILI YA KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI 8
Nyumba ya mitambo ya kusukuma maji iliyojengwa kupitia mradi wa maji wa Mahenje wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Meneja wa Ruwasa wilaya ya Mbozi Mhandisi Ismail Nassor kushoto,akielezaa juu ya kukamilika kwa mradi wa maji Mahenje kata ya Mahenje wilayani humo,wa pili kushoto mganga wa zahanati ya Myovizi Esperata Simbila,kulia Diwani wa kata ya Mahenje Japhet Mganga na wa pili kulia katibu wa Chombo cha watumia maji ngazi ya jamii(CBWSO) Prakseda Mireni. Na Muhidin Amri,Mbozi JUMLA ya vijiji vinane vya wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe,vinatarajia kuondokana na adha ya maji safi na salama baada ya Serikali kutenga zaidi ya Sh.bilioni 11 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mipya 7 ya maji.…
RAIS WA ROMANIA,MHE.KLAUS AWASILI ZANZIBAR
Rais wa Romania, Mhe. Klaus Iohannis amewasili Zanzibar…
JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA TEF LAFANYA ZIARA MKOANI LINDI
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limefanya ziara katika…
MBUNGE SANTIEL KIRUMBA AIOMBA SERIKALI IONGEZE LIKIZO KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA MTOTO NJITI
Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog …
KUFANYA KWAO MTIHANI NI UAMUZI WA RAIS SAMIA KUHAKIKISHA KILA MWANAFUNZI ANATIMIZA NDOTO YAKE KUPITIA ELIMU – CDE. JOKATE
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzani (UWT)…
WATAKIWA KUSIMAMIA KIKAMILIFU MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI.
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akizungumza kwenye…
WANANCHI WA KIJIJI CHA MBOZI WILAYANI MBOZI MKOA WA SONGWE WAISHUKURU SERIKALI KUKAMILISHA MRADI WA MAJI WA MATULA
Meneja wa Ruwasa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe…
TIA KUJENGA JENGO LA GHOROFA TANO KAMPASI YA SINGIDA, LENGO NI KUSOGEZA HUDUMA PAMOJA
Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Taasisi ya Uhasibu…