Biashara
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
FCC YAONGEZA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI KUKABILIANA NA BIDHAA BANDIA BANDARINI
Tume ya Ushindani (FCC) imesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wadau wa sekta binafsi ili kudhibiti usafirishaji na uingizwaji wa bidhaa…
WAZIRI JAFO AAGIZA KUANZISHWA KWA OPARESHENI MAALUM KUWAONDOA WAGENI WANAOFANYA BIASHARI KINYUME CHA SHERIA KARIAKOO
Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, dk Selemani Jafo, ameagiza kuanzishwa kwa oparesheni maalumu ya kuwabaini na kuwaondoa wageni wanaofanya biashara kinyume…
BENKI YA EXIM YATANGAZA MAFANIKIO MAKUBWA NA MWELEKEO MADHUBUTI MWAKA 2025
2 Mei 2025, Dar es Salaam, Tanzania, Benki ya Exim Tanzania imeanza mwaka kwa mafanikio makubwa, baada ya kuhitimisha robo ya kwanza ya mwaka…
ARUSHA IMEJAA FURSA, TUZIANGALIE KWA JICHO LA UWEKEZAJI – RC MAKONDA.
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amefungua rasmi Jukwaa la Uwekezaji la Mkoa wa Arusha linalofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa…
RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KULETA SERIKALI KWA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO – MHE. MCHENGERWA
Na John Mapepele Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia…
WHI KUPITIA FAIDA FUND KUWAFIKIA WAFANYABIASHARA NA BODABODA KUFUATIA MAFANIKIO YA UWEKEZAJI
Mwenyekiti wa Bodi ya Faida Fund, Abdulrazaq Badru akizungumza na wanahisa katika mkutano wa mwaka uliofanyika kwenye ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es…
MWANZA MBIONI KUZALISHA VYANZO VIPYA VIKUBWA VYA KODI
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Saidi Mohamed Mtanda amsema kutokana na miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea mkoani hapo, anatarajia vyanzo vipya vya kodi…
DKT. NCHEMBA: SERIKALI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WADAU KUIMARISHA USAWA WA KIJINSIA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza jambo wakati aliposhiriki mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na masuala ya usawa…
NAIBU GAVANA BoT AZITAKA SERIKALI ZA AFRIKA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA KUIMARISHA UKUSANYAJI RASIRIMALI KUPUNGUZA UTEGEMEZI
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Sauda Msemo, amezitaka serikali za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali…