fullshangwe
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
AJERUHIWA KWAA MAPANGA TUMBONI AKIDAIWA KUWA POPOBAWA
Na Mwamvua Mwinyi, Kisarawe April 4 Mkazi wa kijiji cha Vikumburu Wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani, Daud Juma, amejeruhiwa na mapanga katika sehemu mbalimbali za…
WANAFUNZI WASIOONA SHULE YA MSINGI MGEZA MSETO BUKOBA WAPATIWA VITABU VYA BRAILLE NA RADIO ZENYE UJUMBE MUHIMU WA LISHE.
Afisa Elimu taaluma Manispaa ya Bukoba Bi. Upendo Nanyaro, akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mgeza Mseto Bi. Augustina Daniel vitabu vyenye ujumbe…
HADITHI: BIBI NA MJUKUU WAKE WATAKA KUNIUA KISHIRIKINA
Naitwa Amani kutokea Moshi, Tanzania, kila siku nilikuwa naletewa chakula na msichana wa jirani ambaye alikuwa anaishi na Bibi yake alikuwa anafanya kazi mgahawani…
MZUMBE WATAKIWA KUJIHADHARI NA VITENDO VYA RUSHWA
Kaimu Naibu Rasi wa Ndaki ya Dar es Salaam Dkt. Coretha Komba akifungua semina ya siku moja kuhusu Kupambana na Kuzia Rushwa mahali pa…
MHE. DKT. NCHEMBA ATETA NA BALOZI MPYA WA UMOJA WA ULAYA JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (Kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mpya wa Umoja wa Ulaya nchini…
KAMISHNA JENERALI ASHIRIKI UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE MKOANI KILIMANJARO
Prisca Libaga, Kilimanjaro Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo ameshiriki katika sherehe za uzinduzi wa Mbio…
WAZAZI WASHAURIWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO NA KUZIENDELEZA NDOTO ZAO.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Mwandeti, John Massawe akizungumza na wanafunzi pamoja na wazazi katika mahafali hayo shuleni hapo. Afisa Maendeleo ya jamii Arusha…