SERIKALI IMEANZA KUANDAA MPANGO WA UREJESHAJI MALIKALE ZILIZOKO UJERUMANI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amesema kuwa Serilikali imeanza kuandaa mpango wa majadiliano ya namna ya kuzirejesha malikale zilizopo katika Taifa…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amesema kuwa Serilikali imeanza kuandaa mpango wa majadiliano ya namna ya kuzirejesha malikale zilizopo katika Taifa…
Na: Mwandishi Wetu, Tanga. Mkoa wa Tanga umepata mafanikio makubwa dhidi ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya…
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akizungumza na Majaji Wafawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Majaji kadhaa wa Mahakama hiyo…
Happy Lazaro,Arusha . Arusha.Mamia ya Wananchi wamejitokeza kuiaga miili ya watu 25 waolifariki katika Ajali ya gari iliyotokea mnamo tarehe 24 febuari katika barabara…
KATIKA kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8/3/2024 wanawake wa wilaya ya Nachingwea wamefanya harambee kwa ajili ya kuwasaidia wahanga wa Tembo…
Tarehe 27 Februari, 2024 Dodoma. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Shirikisho la Ethiopia Mheshimiwa Dkt. Abiy Ahmed Ali anatarajiwa kuwasili nchini kwa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Kituo cha Mikutano cha…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi Wilaya Butiama mkoani Mara, akiwa katika ziara ya kikazi Februari 27.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu. ………… WAZIRI MKUU Kassim…