Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! 

Tukutane Mbagala Zakhem

*Jumapili | 19 July 2026* 

Tunayo kwa ajili yako: 

🎉 Screen kubwa 

🎧 Live DJ & Burudani 

🍔 Vyakula na vinywaji 

💯 *Hakuna kiingilio* 

Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na tushangilie pamoja 🇹🇿

Tag rafiki zako wa mpira hapa chini 👇

#OryxEnergies #FIFAWorldCup2026 #Fainali #MpiraNiFursa #Mbagala #Tanzania #WorldCupFinal