Siku simu yangu ilipoibiwa, nilihisi kama nimepoteza zaidi ya kifaa cha mawasiliano. Ndani ya simu ile kulikuwa na picha muhimu, mawasiliano ya kikazi, na kumbukumbu nyingi ambazo nilikuwa nimekusanya kwa miaka. Nilikuwa nimeizoea kiasi kwamba ilikuwa sehemu ya maisha yangu ya kila siku.

Wizi ulitokea ghafla. Nilijaribu kuitafuta mara moja, nikapiga simu kwenye namba yangu mara kadhaa, lakini haikupatikana. Kadri muda ulivyopita, matumaini ya kuipata yalianza kupungua. Kwa kweli niliumia sana.

Kilichoniumiza zaidi ni kupoteza taarifa muhimu zilizokuwa ndani yake. Watu wengi waliniambia nisipoteze muda kuitafuta kwa sababu uwezekano wa kuipata ulikuwa mdogo sana. Baada ya wiki kadhaa, nilianza kuamini kwamba simu ile ilikuwa imepotea milele……..SOMA ZAIDI