Kwa miaka mingi, ndoto yangu kubwa ilikuwa kubeba mtoto wangu mwenyewe mikononi. Nilipokuwa naolewa, nilikuwa na matumaini makubwa ya kujenga familia yenye furaha. Mimi na mume wangu tulizungumza sana kuhusu watoto, majina ambayo tungewapa, na maisha mazuri tuliyokuwa tunaota pamoja.
Mwanzoni hatukuwa na pressure yoyote. Tuliamini mambo yangetokea kwa wakati wake. Lakini miezi ilianza kupita bila mabadiliko. Mwaka mmoja ukapita, kisha mwingine, na bado sikuwa nimepata ujauzito. Polepole hali ilianza kuniumiza moyoni…. SOMA ZAIDIĀ
