Siku ambayo ndugu yangu alitoweka ni siku ambayo sitawahi kuisahau maishani mwangu. Tulikuwa familia ya karibu sana. Ingawa kila mmoja alikuwa na maisha yake, tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara. Ndugu yangu alikuwa mtu wa kupenda familia, mchangamfu, na hakuwa mtu wa kukaa kimya kwa muda mrefu bila kutoa taarifa….. SOMA ZAIDIĀ