Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
TANZANITES YAICHAPA 2-1 UGANDA MECHI YA KUFUZU FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U20
By Alex Sonna
January 20, 2020 | 4:21 am

Related Stories
View all
Michezo
4 hours ago
HISPANIA YAITOA UBELGIJI, YATINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Ubelgiji mabao 2-1 katika mchezo…
Michezo
22 hours ago
TAMASHA LA CLEMENT MZIZE WASHIKE MKONO MSIMU WA 1 KUFANYIKA UWANJA WA SAMORA JULAI 12 MWAKA HUU – MAPATO KUSAIDIA WENYE MAHITAJI IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MCHEZAJI wa Yanga SC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize, ametangaza rasmi kufanyika kwa tamasha la hisani la…
