Wachezaji wa Arsenal wakimzonga refa Paul Tierney wakati anamuonyesha kadi nyekundu Nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 67 kwa kumchezea rafu Max Meyer katika sare ya 1-1 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Aubameyang alitoka akiwa ameifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 12 akimalizia pasi ya Alexandre Lacazette, kabla ya Jordan Ayew kuisawazishia Crystal Palace akimtungua Bernd Leno kwa shuti lililombabatiza David Luiz PICHA ZAIDI SOMA HAPA
AUBAMEYANG ALIMWA KADI NYEKUNDU ARSENAL YATOA 1-1 NA PALACE
By Alex Sonna
January 11, 2020 | 5:56 pm

Related Stories
View all
Michezo
3 hours ago
HISPANIA, CAPE VERDE ZAGAWANA POINTI KUNDI H
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Hispania imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Cape Verde…
Michezo
1 day ago
UJERUMANI YAIFUMUA CURACAO KWA KIPIGO CHA 7-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Ujerumani imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la…
