Kwa miaka mingi nilikuwa na ndoto ya kumiliki gari langu mwenyewe. Si kwa ajili ya kujionyesha, bali kwa sababu nilikuwa nimechoka na usumbufu wa kusafiri kila siku na kutegemea magari ya umma. Kila nilipoona watu wa rika langu wakinunua magari yao, nilijikuta nikisema, “Siku moja na mimi nitafika hapo.”

Lakini ukweli ni kwamba maisha yangu ya kifedha hayakuwa yanaonyesha matumaini yoyote.

Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, lakini kila mshahara ulipofika, ulikuwa unaisha kabla hata mwezi kuisha. Mara kodi, mara karo za watoto, mara matibabu, mara kusaidia ndugu. Mwishowe nilikuwa nabaki bila hata akiba ya maana.

Kilichoniumiza zaidi ni kwamba kila mwaka nilikuwa najiambia nitaanza kuweka akiba kwa ajili ya gari, lakini mwisho wa mwaka hakuna kilichokuwa kimebadilika…. SOMA ZAIDI