Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara, Ndugu Stephen Masato Wasira aliyefika Ikulu Zanzibar , leo tarehe 30 Septemba 2025.
DK.MWINYI AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TZ BARA
