Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati akifungua Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Marekani lililofanyika kando ya Kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 80) Jijini New York nchini Marekani. Tarehe 22 Septemba 2025.