Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
juni 29,2025
Aliyekuwa mbunge viti maalum mkoani Pwani Subira Mgalu amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Bagamoyo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bagamoyo, Shaban Karage amemkabidhi fomu hiyo leo Juni 29,2025.
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
juni 29,2025
Aliyekuwa mbunge viti maalum mkoani Pwani Subira Mgalu amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Bagamoyo.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Bagamoyo, Shaban Karage amemkabidhi fomu hiyo leo Juni 29,2025.
Sign in to your account