Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya bbyKuhitimisha Shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Dodoma , leo tarehe 27 Juni, 2025.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya Kuhitimisha Shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Dodoma , leo tarehe 27 Juni, 2025.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja akifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya Kuhitimisha Shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Dodoma , leo tarehe 27 Juni, 2025.