2022
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
WAZIRI ASHATU AHIMIZA UPANDAJI MITI JIMBO KWAKE KONDOA VIJIJINI
MBUNGE wa Jimbo la Kondoa na Waziri wa Habari,Mawasiliano, na Teknolojia ya habari Habari Mh. Dkt. Ashatu Kijaji Akipanda mti kama ishara ya kuzindua zoezi…
RAIS SAMIA AMJULIA HALI SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI ABUBAKAR BIN ZUBEIR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Bin Zubeir anayepatiwa matibabu katika…
WASHINDI WA CHRISTMAS PROMOSHENI WATANGAZWA.
Washindi wa promosheni ya skukuu ya Christmas wakipewa zawadi ya Microwave na kampuni ya simu ya mkononi TECNO jijini Dar es Salaam. Baadhi ya…
WAZIRI JAFO AMJULIA HALI MUASISI WA MUUNGANO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Mzee Hassan Omar Mzee (aliyechanganya udongo wa…
FEDHA ZA MIKOPO INAYOTOLEWA NA HALMASHAURI ZIKUZE MITAJI NA KUINUA BIASHARA ZENU-DC NGUVILA
**************** Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa sura ya 290 kifungu cha 37A(1-4) kinaeleza kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zitatenga asilimia kumi…
WAZIRI MKUMBO AONGEZA MIEZI 6 KUWASILISHA TAARIFA ZA WAMILIKI MANUFAA WA KAMPUNI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Prof.Kitila Mkumbo,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Januari 4,2022 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa ya kuongeza muda…
MZIZIMO WA BARIDI HUMPATA KONDOO MWENYE MANYOYA HABA
……………………………………………………… Adeladius Makwega,Dodoma. Kwa hakika tulijulisha kupitia taarifa ya habari ya Redio Tanzania Dar es Salaam ya saa mbili usiku kuwa mwaka 1990 wanafunzi…
WALIMU 368 WA SHULE ZA SEKONDARI WANAOFUNDISHA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI WAJENGEWA UWEZO MKOANI TABORA
…………………………………….. Na Lucas Raphael Walimu 368 kutoka mikoa 13 wanaofundisha masomo ya Sanyasi na hisabati katika shule za sekondari nchini wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea…
SHIBOUB, MUIVORY COAST KUCHEZEA SIMBA MAPINDUZI CUP
MSHAMBULIAJI Msudan, akiwa mazoezini na klabu ya Simba ambako amerejea kwa majaribio ambayo kama atamvutia kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin atasajiliwa tena. Pamoja na…