2022
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
NMB CHATO NA SENGEREMA WATOA MSAADA WA MAGODORO GEREZA LA CHATO
****************** Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi ya Chato na…
SERIKALI HAIJASITISHA MATUMIZI YA TAA ZA SOLA KATIKA UVUVI WA DAGAA ZIWA VIKTORIA
Mkurugenzi wa Uvuvi, Bw. Emmanuel Bulayi (katikati) akiongea na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) wakati akitoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizosambaa kuwa Serikali imetoa agizo la…
CCM TAWI LA KAWAWA MADALE YAMFANYIA DUA HAYATI MZEE RASHID KAWAWA
Vita Kawawa Mtoto wa Hayati Rashidi Mfaume Kawawa Waziri Mkuu wa Zamani wa Tanzania akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima…
DK.HUSSEIN MWINYI AWASILI KISIWANI PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amepokelewa na Viongozi wa Serikali wakati alipowasili Kisiwani Pemba kushiriki matemezi…
RAI SAMIA AKILIHUTUBIA TAIFA WAKATI AKITOA SALAM ZA KUAGA MWAKA 2022 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Taifa wakati akitoa Salam za kuaga Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya…
WANAFUNZI 1,073,941 KUANZA KIDATO CHA KWANZA KWA AWAMU MOJA,2023
*Madarasa 8000 ya Rais Samia Yakamilika kwa 95% OR- TAMISEMI Naibu KATIBU Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia…
13 KUPAMBANIA MR & MISS MAZUBU GRAND HOTEL
Na Mwandishi wetu, Mirerani WATOTO 13 wakiwemo wasichana nane na wavulana watano wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, katika kuukaribisha mwaka…
MKOA WA SINGIDA KUNUFAIKA NA MRADI WA BILIONI 7 KUPITIA AWAMU YA TATU YA MRADI WA REA WA PERI URBAN
Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhe. Mhandisi Pasikasi Muragili (katikati) akiwa pamoja Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Singida (waliokaa kushoto) na ujumbe wa…
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA NA MWENYEKITI WA CHADEMA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe…