Ad imageAd image
By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog
  • Home
  • Biashara
  • Burudani
  • Magazeti
  • Mchanganyiko
  • Michezo
  • Siasa
  • Teknolojia
  • TV
  • Makala
Reading: RAIS SAMIA ATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZOTE ZA KOMBE LA YAMLEYAMLE
Share
Aa
Aa
Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog
Search
  • Home
  • Biashara
  • Burudani
  • Magazeti
  • Mchanganyiko
  • Michezo
  • Siasa
  • Teknolojia
  • TV
  • Makala
Follow US
© 2022 Flavour Media Company Limited. All Rights Reserved. Designed by Yatosha Web Services
Mchanganyiko

RAIS SAMIA ATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZOTE ZA KOMBE LA YAMLEYAMLE

John Bukuku
Last updated: 2022/07/04 at 2:23 PM
John Bukuku 3 years ago
Share
SHARE

Na John Mapepele.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe, Samia Suluhu Hassan ametoa
vifaa vya michezo kwa timu zote 45 zinazoshiriki mashindano ya kombe la
Yamleyamle Zanzibar ili timu ziweze kufanya vizuri hatimaye  kuwapata
wachezaji bora na wenye  vipaji ambao wataunganishwa  kwenye timu ya
Taifa.
Kauli
hiyo imetolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed
Mchengerwa, Julai 3, 2022 wakati akizindua mashindano hayo yanayofanyika
kwenye Uwanja wa Amani Zanzibar ambapo amesema Mhe. Rais ametoa mipira
45 kwa ajili ya timu hizo na jezi.
“Niwaombe 
tunapojipanga kwenda kuandaa mashindano ya AFCON,  tuleteeni orodha 
ya  vijana wanaofanya vizuri tutahakikisha tunawaingiza kwenye time zetu
za taifa, tutawaendeleza, tutakuza vipaji vyao kwa maslahi  ya Serikali
zote mbili SMT na SMZ”. Amesisitiza Mhe, Mchengerwa.
Amewapongeza
kwa kuandaa mashindano hayo ambapo amefafanua kwamba dhamira ya
Serikali ni kuhakikisha kuwa inaandaa mashindano ya AFCON  2027 na
kusisitiza kuwa inawezekana iwapo kila  mdau atachukua wajibu wake.
Aidha,
amefafanua kuwa eneo la soka ndilo eneo pekee ambalo  linaweza 
kuwaunganisha watanzania wote bila kujali itikadi ya dini zao, rangi
wala  makabila yao.

 

 

 

John Bukuku July 4, 2022 July 4, 2022
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article WAZIRI WA NISHATI AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI YA TPDC
Next Article MHE MADUHU ATEMBELEA BANDA LA POLISI KWENYE MAONYESHO YA SABASABA

Find Us on Socials

Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog

© 2022 Flavour Media Company Limited. All Rights Reserved. Designed by Yatosha Web Services

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

[contact-form-7 id="250336" title="newslatter"]
Zero spam, Unsubscribe at any time.
adbanner
AdBlock Detected
Our site is an advertising supported site. Please whitelist to support our site.
Okay, I'll Whitelist
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?