Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Mikocheni Jijini Dar es Salaam.