Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma akisalimiana na Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Thobias Andengenye wakati alipowasili mkoani Kigoma kushiriki mazishi ya aliyekuwa Askofu wa Jimbo la Ziwa Tanganyika la Kanisa la Morovian,Askofu Charles Katale yanayofanyika leo tarehe 7 Mei 2022.
MAKAMU WA RAIS AKIWASILI KIGOMA KUSHIRIKI MSIBA WA ASKOFU KATALE
By Alex Sonna
May 7, 2022 | 8:35 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
50 minutes ago
WAJASIRIAMALI IRINGA WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU NA UTAMBULISHO WA BIDHAA ZAO
NA DENIS MLOWE IRINGA WAJASIRIAMALI wa Mkoa wa Iringa wametakiwa kuzingatia ubunifu katika biashara zao kwa kutambua kwa kina mahitaji ya soko na kuimarisha…
Mchanganyiko
54 minutes ago
KAMPUNI YA ZARA ADVENTURES TOURS TANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA MAONESHO YA KARIBU -KILI FAIR 2026
Na Happy Lazaro,Arusha . Kampuni ya Zara Adventures Tours Tanzania imeendelea kung’ara katika maonesho ya utalii ya Karibu -Kilifair yanayoendelea jijini Arusha huku ikipongeza…


