2021
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Naibu Waziri Ulega Asisitiza Matumizi ya Kiswahili kwenye bidhaa za ndani na nje.
Naibu Waziri Wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Abdallah Ulega akiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), Bi. Consolata…
NIC WADHAMINI WAPYA RUVU SHOOTING
********************************************** DAR ES SALAAM SHIRIKA la Bima la Taifa (NIC) limeingia mkataba wa miaka mitatu ya kuidhamini timu ya mpira wa miguu Ruvu Shooting…
POLISI PWANI YAMKABIDHI MADAWATI RC NDIKILO
******************************************** Na MWAMVUA MWINYI,PWANI JESHI la Polisi mkoani Pwani limetoa madawati (viti na meza) 50 vyenye thamani ya shilingi milioni nne ili kukabiliana na…
ULEMAVU SIO KUTOKUWEZA: WAZIRI MHAGAMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza wakati wa hafla ya…
WAZIRI MKUU: TUMUENZI MHE. NDITIYE KWA VITENDO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima baada kuweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe, Mhandisi Atashasta Nditiye katika mazishi yaliyofanyika…
KIWANDA CHA KUSAFISHA DHAHABU KUSHUSHA NEEMA KWA WACHIMBAJI MADINI
************************************* NA BALTAZAR MASHAKA,Mwanza WAZIRI wa Madini,Dotto Biteko, amesema ili kujenga uchumi imara,kuchangia pato la taifa na kuleta maendeleo nchini,wachimbaji wadogo wa madini wasikubali…
WATUMISHI WATATU WA TBS WASHIKILIWA KWA KOSA LA KUMTAPELI MMILIKI WA KIWANDA
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe (Katikati) akizungumza leo na wandishi wa habari makao Makuu ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Jijini…
Dr. Dugange azindua ugawaji wa vifaa vya uchunguzi wa Saratani ya Mlango wa Kizazi
************************************* Nteghenjwa Hosseah, Mbeya Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Dr Festo Dugange amezindua ugawaji wa vifaa vya uchunguzi wa Saratani ya Mlango wa…
RC KUNENGE AKERWA NA “UBABAISHAJI” WA MKANDARASI ANAEJENGA BARABARA YA KINONDONI -MWANANYAMALA
******************************************* Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ameonyesha kuchukizwa na kitendo Cha kusuasua kwa Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya…