MWALIMU APONGEZA UTEUZI WA DK BASHIRU
******************************************* NA DENIS MLOWE,IRINGA MWENYEKITI wa Jukwaa la Walimu Wazalendo mkoa wa Iringa, Mwalimu Marysina Ngowi amepongeza uteuzi wa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
******************************************* NA DENIS MLOWE,IRINGA MWENYEKITI wa Jukwaa la Walimu Wazalendo mkoa wa Iringa, Mwalimu Marysina Ngowi amepongeza uteuzi wa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM…
Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na ukoma wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt Mkasange Kihongole kushoto akifuatilia maendeleo ya Afya ya mtoto Fatma Ali(3) ambaye anasumbuliwa na homa za mara kwa mara wakati wa kampeni ya uelimishaji na uchunguzi wa vimelea vya kifua kikuu kwa watoto iliyofanyika katika kijiji cha Namwinyu wilayani humo,kulia ni mama wa mtoto Daima Kazembe. Muuguzi wa Zahanati ya Namwinyu kijiji cha Namwinyu wilaya ya Tunduru Hidaya Kandulu akiongea na baadhi ya akina mama waliofika kwenye zahanati hiyo kwa ajili ya huduma ya kliniki kwa watoto wao, hata hivyo baadhi ya watoto hao wamebainika kuwa na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa kifua kikuu unaosababisha watoto wengi kutokuwa na maendeleo mazuri katika suala zima la ukuaji. ***************************************** Na Muhidin Amri, Tunduru MRATIBU wa kitengo cha kifua kikuu na ukoma kutoka Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt Mkasange…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (kulia) akimueleza Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Godfrey Mheluka hatua ambazo Serikali imezichukua ili kutatua…
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO, Dkt.Tito Mwinuka amesema kuwa wataalamu wa TANESCO wanafanya kazi usiku na mchana katika vituo vya kuzalisha…
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akizungumza na moja ya wataalam (kushoto), wanaofanya kazi ya kutengeneza baadhi ya mitambo ya umeme katika Kituo cha…
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA MKUU wa wilaya ya Kibaha ,mkoani Pwani ,mhandisi Martin Ntemo amewataka wadau wa elimu na maendeleo wilayani humo, kuunga mkono juhudi…
………………………………………………………………………………………… Na. Samwel Mtuwa- GST. Leo Machi 2, 2021 Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania(GST) imeanza kupata mafunzo maalum ya siku 4…
Tanzania na Burundi zimejipanga kuutumia Mkutano wa Sita wa Tume ya Pamoja ya Kudumu kama njia mojawapo ya kuhamasisha wananchi wa pande zote mbili…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo,akitoa taarifa maalum ya utekelezaji kwa waandishi wa habari (hawapo…