KLABU ya Tottenham imemsajili beki Muargentina, Cristian Romero kwa ada ya Pauni Milioni 47 kutoka Atalanta, beki huyo bora wa msimu uliopita wa Serie A amekabidhiwa jezi namba nne

KLABU ya Tottenham imemsajili beki Muargentina, Cristian Romero kwa ada ya Pauni Milioni 47 kutoka Atalanta, beki huyo bora wa msimu uliopita wa Serie A amekabidhiwa jezi namba nne

Sign in to your account
