Mshambuliaji wa Azam FC, Obrey Chirwa akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya 57 ikiwalaza Mlandege SC 1-0 katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
CHIRWA AIPELEKA AZAM FC NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI BAADA YA KUICHAPA 1-0 MLANDEGE FC

